Saturday, February 6, 2016

K/NDEGE WAPOKEA UGENI MZITO WA VIJANA TOKA JIMBO LA NAIROBI, KANGEMI, KENYA.








Vijana 15 kutokaJimbo Kuu Katoliki la Nairobi, Parokia ya Yoseph Mfanyakazi iliyoko Kangemi, Nairobi KENYA. Walitembelea viwawa wa Parokia ya K/ndege ili kushiriki nao sikukuu ya christmass ya vijana, waliwasili Jumatano tarehe 23/12/2015 na kushirikishana mambo mbalimbali hasa yanayohusu utume wa vijana na walikaa pamoja mpaka tarehe 28/12/2015. Mada mbalimbali ziliendeshwa na  Michezo ya pamoja, ilikuwa ni furaha kwa kukutanisha vijana toka mataifa mawili tofauti kwao ilikuwa ni furaha tosha kwa kuwa pamoja na walidumisha Mapendo Daima kama vijana wakatoliki.

















0 comments:

Post a Comment